DP William Ruto Denies Profiling Luo Community as Controversial Video Goes Viral

Deputy President William Ruto has denied claims of profiling the Luo community after a controversial video surfaced on social media.
A section of Kenyans online and leaders have accused Ruto of spouting hatred against Luos after the recording went viral.
"Kwani hawa watu wanatuambia saa hii stori mingi hatuwajui, si tunawajua?. Ni watu ya kubomoa, kama hawabomoi chama, wanabomoa nyumba, kama hawabomoi nyumba wanang'oa reli, kama hawangoi reli, wana tenganisha marafiki….. sasa hii watu ambao tunawaelewa we are entertaining them for what purpose," Ruto poses in the video taken recently.
In a statement, Ruto says his sentiments as captured in the recording have been blown out of context by those trying to win support “through desperate and alarmist misinformation.”
“We expect more sober and responsible interpretation and analysis of events and issues. The propagators of the anti-Ruto spin are blinded with desperation to the point that they cannot realize that they are the ones profiling a whole community,” Ruto explains.
“Unless you’re telling me being Luo is equivalent to uprooting the railway, something I totally disagree with,” he adds.
Comments
As of the statement made by…
Permalink
As of the statement made by Ruto, there is not one thing he has stated that has not occurred. All those are all statements of fact. None of those things have not occurred. Deal with it. Ruto forgot to mention burning down schools and rooting businesses. Let's call a spade a spade!!
... and not a big spoon…
Permalink
In reply to As of the statement made by… by Anonymous UI (not verified)
... and not a big spoon. Agreed. For once Ruto is telling the truth. May he now go on to tell us about what happened to the dam money and where he gets all that money he gives to churches.
mkristo Ruto: 1. Ulinyakua …
Permalink
mkristo Ruto:
1. Ulinyakua shamba la Mteshi
2. Ulinyakua kiwanja ulichojenga hoteli ya Weston
3. Una helikopta tano
4. Hujatuambia waliohusika kuwachoma watu katika kanisa la Kiambaa huko Eldoret mpaka sasa!
5. Unatoa hongo makanisani ili wafuasi kondoo wakupigie kura 2022
6. Umejenga nyumba ya kifahari huko Eldoret isiyopungua shilingi bilioni moja
7. Unawaambia wakulima wapande miparachichi ili uuze mahindi yako Kenya
8. Ulimfanya msichana mimba wa chuo kikuu na huku unatudanganya ya kwamba wewe ni mkristo.
9. Ulipozaa na msichana wa chuo kikuu ulivunja sheria kubwa ya "mungu wako" ambayo inasema, "usizini"
10. Mpaka sasa hujatuambia waliohusika kumuua Chris Msando na Jacob Juma
11 Wewe na ndugu yako Jirongo mlihusika na YK 92 kuwahonga watu ili Mzee Dr. Daniel Toroitich Kipkorios Arap Moi achaguliwe halafu shilingi ya Kenya ikapoteza dhamani yake.
12. Umekatazwa na rais uwache mambo ya siasa za 2022 na wewe husikii.
13. Una utajiri mwingi sana ambao hujatuambia pesa ulizo nazo zote ulizitoa wapi?
14. Inasemekana unajenga hoteli nyingine kubwa huko Mombasa. Je, umetoa wapi pesa hizi zote na sisi tunajua mshahara wako wa kila mwezi kama makamu wa rais.
15. Inasemekana ya kwamba, pesa za kujenga bwawa (dam) nyingine zilitumiwa kununua taulo (towel) na pombe. Je, siku hizi mabwawa hujengwa kwa kutumia taulo na pombe?
16. Wafuasi kondoo wako wanatumia lugha chafu ambayo inaweza kuleta matatizo nchini.
17. Nakuomba umwambie mfuasi wako Oscar Sudi awache kupayukapayuka na kupigapiga mdomo kama "fisi mwenye upele" na aanze kufanya kazi kama Wakenya wengine.
18. Yaonekana ya kwamba pengine wanaokuunga mkono uwe rais umeshawapa hongo tayari.
19. Nakuomba uwache kwenda kanisani kwa sababu mtu wa tabia mbovu kama zako hafai kuwa karibu na kanisa. Utawafundisha watu tabia zako ambazo hazisaidii kujenga nchi.
20. Nakuomba uwache mambo ya siasa na kuanza kufanya kazi kama Wakenya wengine.
21. Nakuomba uwache kufikiria kuwa rais wa Kenya 2022 kwa sababu hufai hata kidogo kuwa rais wa Kenya. Tunataka watu wapya kabisa kwenye utawala wa Kenya. Yaani, wewe na rafiki yako Raila muondoke kwenye siasa za Kenya 2022 kabisa.
This are the tale-tale signs…
Permalink
This are the tale-tale signs for Kenyans to embrace for impunity when Ruto becomes the President of the Republic.
Nyanza and its environs may have to seek for succession - 😜😂🤣🤦♂️
Do you mean secession? And…
Permalink
In reply to This are the tale-tale signs… by Mbwana (not verified)
Do you mean secession? And if so, secede to where? Do U truly believe there can be a country known as the Republic of Nyanza? And what would they eat let alone sustain a country?
Secession?
Permalink
In reply to This are the tale-tale signs… by Mbwana (not verified)
Secession?
Yes, mir athii dala...guys…
Permalink
Yes, mir athii dala...guys machigni!
Ni ajabu ya kwamba, huyu…
Permalink
Ni ajabu ya kwamba, huyu ndugu yetu "mkristo Ruto" ambaye anasema ana shahada ya uzamivu (Ph.D.). Inaonekana ya kwamba, yeye hajui ya kwamba Waluo (ambao anawakebehi na kuwafanyia mambo ya umbeya na masihara) Kalenjin, Wamasai, Wasamburu, Waturkana, Wateso, ni watu wa asili moja. Ni sawa na Wayahudi na Wapalestina: hata ingawa hawapatani, wote ni watu wa asili moja.
Sasa inaonekana dhahiri ya kwamba, masomo ya bandia tunayopata kwenye taasisi za elimu zenye msingi wa elimu ya kigeni, hazitufundishi kujua na kuelewa elimu ya msingi na mawasiliano baina ya watu wa asili moja.
Add new comment