Ruto: I Have All it Takes to Be Kenya's 5th President

Deputy President William Ruto says he has all it takes to be Kenya's fifth President and has urged Kenyans to back his 2022 bid for the presidency.
Addressing a rally at Tenges Boys’ High School in Baringo Central after commissioning the construction of 45-km Ainobmoi-Barwessa road and water projects, the DP said he has the ideas and experience required to spur growth in the country.
“I have several ideas on how we can improve the country as my competitors keep on spreading propaganda and cheap politics,” he said.
“I need your support to give me strength to serve all Kenyans,” added the DP who was accompanied by his wife Rachael Ruto and several MPs.
He urged leaders to stop politicking and focus on helping President Kenyatta deliver his Big Four for the country namely food security, universal healthcare, affordable housing, and manufacturing.
Comments
Exactly. It takes Thieves,…
Permalink
Exactly. It takes Thieves, RIGGERS (of Elections) abd Land Grabbers like You; and the likes Like Jomo Kenyatta, Daniel Moi, and Uhuru Kenyatta.
We agree. You have what it…
Permalink
We agree. You have what it takes to lead Kenya as many others. Actions speak louder than words. Implement your ideas now in this government then we will be the judge. Your experience is on display. Before 2022 we will need honesty from you for assurance that history will not repeat itself. Kenyans will need to know for whom and for what reason Kenyans were burnt in a Church. You will need to wrestle with our ancestors, because we will not forget. If after the innocent bloodshed, they give you their blessings- we will give you our blessings too. It's a good time to appease them. May the real God give Kenya it's rightful leader, come 2022!!
Ndugu Chichir Samoei Arap…
Permalink
Ndugu Chichir Samoei Arap Ruto: Nakuomba na pia nakusihi uwache kuota ndoto za kuwa kiongozi wa Kenya 2022. Kwa nini?
1. Kuna uhalifu mwingi ambao umetendeka nchini na mwingine wewe binafsi unahusika. Kwa nini hujatuambia waliohusika na kuteketeza waumini kanisani la Kiambaa huko Eldoret? Miaka mingi imepita na wewe binafsi hujashughulika kujua ni nani waliofanya mambo ya ajabu kama hayo huko kwako?
2. Ulipoanza uhalifu wako wa siasa, wewe pamoja na ndugu yako Jirongo mlihusika kwenye YK92 kumsaidia Mzee Toroitich kuchaguliwa halafu mkaiyumbisha na kumaliza uwezo wa shilingi ya Kenya. Mpaka sasa, shilingi ya Kenya haijawa na nguvu kama zamani. Asili yake ni ule uchafu mliofanya mwaka wa 1992 ili kumsaidia baba yenu Mzee Toroitich kuchaguliwa ili aendelee kuirudisha nchi yetu nyuma!
3. Baada ya uchaguzi wa 2007, wewe ulihusika na wizi wa shamba la Ndugu Muteshi mpaka mahakma ikakupata na uhalifu huo. Kusema kweli, kwa nini unafikiri watu wa Kenya wanapenda kutawaliwa na wezi? Je, umekwisha mrudishia Ndugu Muteshi shamba lake au bado?
4. Ulihusika na kunyakua kipande cha shamba ili ujenge hoteli yako huku ukiwadhulumu wanafunzi kwa kutoa amri warushiwe vitoa machozi (tear gas) bila huruma, dhamiri, au utu!
5. Huku ukijiita Mkristo, ulimfanya mwanafunzi kuwa na mimba halafu ukalazimishwa kumtunza mtoto huyu uliyemzaa pembeni na huku una mke! Mtu anayejifanya kuwa kitu ambacho hajawa, huitwa MNAFIKI. Kwa nini unataka watu wa Kenya kumchagua MNAFIKI (hypocrite) kuwa rais wa Kenya?
6. Wewe kama kiongozi wa rushwa huenda makanisani kutoa mchango huku ukitumia pesa za serikali. Kwanza, yafaa tupate jumla ya hela/pesa ambazo umetoa makanisani halafu ukatwe kwenye mshahara wako ili pesa hizi zirudi kwenye hazina ya taifa. Twajua kwa nini unatoa pesa makanisani. Madhumuni yake ni kuwapumbaza waumini na makasisi ili wakupigie kura 2022! Kwa nini unachanganya siasa na makanisa? katiba ya Kenya haikuruhusu kufanya hivyo! Kwa nini unapendelea Wakristo kwa kuwachangia pesa ili wajenge majumba ya uhalifu? Umesahau Kenya ina Waislamu pia? Kwa nini hujawachangia pesa waumini wengine kama
Waisilamu kujenga misikiti kama unavyowasaidia Wakristo kujenga makanisa? Kusema kweli, sisi hatutaki makanisa au misikiti nchini mwetu!
7. Umejenga jumba lako huko Eldoret ambalo ni ghali sana zaidi ya shilingi bilioni moja, umenunua helikoputa za kusafiria badala ya kutoa pesa hizi zote ili kuboresha barabara za Kenya ili ajali zipungue. Je, umepata wapi pesa hizi zote za kufanya makuu niliyotaja?
8. Mtu yeyote anayekuunga mkono uwe rais 2022 haikosi amepokea rushwa kutoka kwako. Hakuna mtu ambaye anakujua na pia uhalifu wako ambaye anaweza kukuunga mkono uwe rais wa Kenya!
Nakuomba uwache mambo ya siasa na kufanya kazi pamoja na Ndugu Uhuru ili nyote mwondoke baada ya kumaliza awamu yenu 2022. Kenya ina hamu sana ya kuanza upya baada ya ninyi wawili kustaafu. Jameni tumechoka na mambo ya siasa zako za ajabu!
https://youtu.be/ldI8EssamaA
Permalink
https://youtu.be/ldI8EssamaA
Huyu ndugu (Ruto) yetu…
Permalink
Huyu ndugu (Ruto) yetu aachane na mambo ya siasa halafu ahakikishe ya kwamba tunatumia teknolojia ya kisasa kupata chakula cha kutosha kwa wananchi wote na pia kwa kuuza nje.
Hebu tazama vile ndugu zetu wa jimbo la Idaho wanavyotumia teknolojia kukusanya viazi ili wailishe nchi ya Marekani na pia dunia nzima.
https://youtu.be/9KipjXSp94g
Add new comment