Kenyan Police Place Sh3 Million Bounty on Italian Woman's Abductors

Kenyan Police Place Sh3 Million Bounty on Italian Woman's Abductors

Police have announced a Sh3 million cash reward to anyone with information that could lead to the arrest of three suspects linked to the abduction of a 23-year-old Italian volunteer.

Silvia Costanza Romano, an aid worker at Milele Africa - an NGO based in Kilifi County was kidnapped from a guesthouse in Chakama on Tuesday by gunmen who attacked the village.

Inspector General of Police Joseph Boinnet says the three suspects identified as Ibrahim Adan Omar, Yusuf Kuno Adan, and Said Adan Abdi are believed to the the ones behind the shooting and abduction.

He describes the three as armed and dangerous. 

Boinnet has also revealed that two motorbikes suspected to have been used during the attack have been nabbed and their owners identified.

"We have also established that the two motorbikes that were found by our officers tracking the suspects are suspected to have been used as the gateway conveyance," Boinnet says in a statement.

"The motorcycles were sold to one Moses Suleiman Mbogo of ID No. 21524176, and one Joseph Bakuna Kazungu of ID No. 21498255."

Mbogo and Kazungu have been ordered to report to the nearest police station for questioning.

No militia has claimed the attack that left five locals including a 10-year-old boy injured. 20 people have since been arrested in connection with the incident.
 

Comments

Imara Daima (not verified)     Sat, 11/24/2018 @ 12:30pm

mwislamu Ibrahim, Yusuf, na Said ni majambazi na pia matapeli. Ningependa kujua, kwa nini waislamu na wakristo wengi ni majambazi na pia matapeli?

Ajabu kubwa ni kuwa waislamu huenda msikitini kila Ijumaa na wakristo huenda kanisani kila Jumapili kuomba. Je "mungu" wanayemwomba ni tapeli na jambazi kama watu wa madhebehu haya mawili?

Isitoshe, wafuasi wa dini hizi mbili waliwauza Wafrika utumwani na pia wanamdharau Mwafrika sana. Ni afadhali warudie imani ya mababu zao ambayo haikumtoa MWUMBAJI makosa kwa kazi kubwa ya KUUMBA kila kitu ULIMWENGUNI na kukipa AKILI.

njai (not verified)     Sat, 11/24/2018 @ 02:49pm

Mkosa dini @imara naomba nikukosoe. Si wakristo Wala waislamu wote ni matapeli na majambazi. Utapeli, ujambazi, USHOGA, umamaliya, wizi, ufisadi, urogi hauna uhusiano wowote na dini ya mtu. Yafaa ujue ya kwamba pia Kuna wakosa dini wengi ambao vile vile wanashiliki katika maovu haya. Nafurahi kwamba wewe na ndugu yetu @maxily si wakana Mumgu mbali ni wakosa dini sawa na mimi.

Imara Daima (not verified)     Sat, 11/24/2018 @ 04:49pm

@Ndugu yangu Njai. Usiangalie mbali! Hebu tazama na pia uchunguze watu wote ambao wamo katika serikali ya Kenya ya sasa na pia ya zamani.
Asilimia mia (100%) ni wakristo na waislamu? Tazama ujambazi na utapeli ambao umo katika serikali yetu ya Kenya! Wote waliohusika kwenye ufisadi wa "Goldenberg" na "Anglo Leasing" ni wakristo.

Unakumbuka watu walioteketezewa katika kanisa la Kiambaa huko Eldoret! Kama umesahau, ningependa kukukumbusha. Waliteketezwa na wakristo. Hebu tazama matatizo tuliyonayo sasa ya usalama katika nchi ya Kenya. Ndugu zetu Al Shabaab wote ni waislamu!

Nakuomba usisahau ndugu na dada zetu kutoka Yuropa. Watu hawa walihamia katika nchi za watu duniani kote na kuwaua karibu asilimia tisini (90%) ya wenyenchi. Watu wote waliohama kutoka Yuropa na kufanya vitendo hivi vya ajabu, wote ni wakristo.

Waarabu kutoka nchi za Uarabuni walihamia nchi zote za Kaskazini ya Afrika na kuchukua ardhi ya wenyenchi. Waarabu hawa wote ni waislamu!

Unakumbuka ndege zilizoendeshwa na Waarabu na kuangusha lile jengo kubwa lililokuwa mji wa New York, na pia jumba jingine katika mji wa Washington DC, majumba haya yaliangushwa na waislamu. 15 walitoka nchi ya Saudi Arabia.
Je, unajua neno hili "ndaki" kwa Kiembu? Watu walilazimishwa kuhamia kwenye "ndaki" na Waingereza wakati wa vita ya kukomboa nchi ya Kenya. Watu wengi waliumia, wakapoteza mashamba yao, na wengine wakauawa na wakristo Waingereza.
Kwa kumalizia, ni lazima uwe macho unapofanya shughuli yoyote na mtu ambaye ni mkristo au mwislamu. Historia yao duniani nzima ni ya kutisha sana. Wengi wao ni waongo na pia wauaji.

Karing'a (not verified)     Sun, 11/25/2018 @ 01:54pm

In reply to by Imara Daima (not verified)

Why do you,@HAKIKA talk about all the thugs and murderers in Kenyan govt and past ones being Christians or Muslim?Where do you put muuaji Raila who is religion/god himself worshipped by some Kenyans including a number of MWAKILISHI leaders?

Jamama (not verified)     Sat, 11/24/2018 @ 07:11pm

So many black Kenyans go missing but we do not see these kinds of rewards offered. Why do so many Kenyan leaders an inferiority complex?

Add new comment

The content of this field is kept private and will not be shown publicly.

Plain text

  • No HTML tags allowed.
  • Lines and paragraphs break automatically.
  • Web page addresses and email addresses turn into links automatically.
CAPTCHA
4 + 13 =
Solve this simple math problem and enter the result. E.g. for 1+3, enter 4.
This question is for testing whether or not you are a human visitor and to prevent automated spam submissions.