Kenyan Man in Sh140 Million Dubai Robbery Arrested in Nairobi

Detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested a second suspect in connection with the robbery of Sh140 million in Dubai, United Arab Emirates earlier this year.
28-year-old George Gitau Maina was arrested in Nairobi on Tuesday and becomes the second suspect to be arrested over the heist that happened eight months ago.
In July, Kenyan police working with Interpol apprehended Rebecca Mweni Musau and recovered Sh13 million from her house in Nairobi's Ruai estate.
Three Kenyan citizens suspected to have been involved in the robbery escaped after the incident.
Dubai police wrote to Kenyan authorities in March asking them to help in tracking and arresting the Kenyans who stole the money from a vehicle transporting cash to an ATM in a shopping mall in Dubai. One Kenyan security guard allegedly distracted his colleagues after the vehicle stopped at the mall in Deira before fleeing with the cash. A third suspect who is still at large has been identified as Mr Charles Karanja, who worked as a security guard.
Comments
Si lazima Wakenya waige …
Permalink
Si lazima Wakenya waige (imitate) tabia mbovu za wakoloni. Wakoloni walipokuja Kenya, walinyakua mashamba ya watu huku wakiwatumia majambazi wanaoitwa "Wamisionari" kuwadanganya wananchi ya kwamba, maskini ndio watakaokwenda mbinguni baada ya kufa!
Ujambazi, wizi, ufisadi unaoendelea Kenya ya sasa unatokana na tabia mbovu za wakoloni waliokuja Kenya bila kualikwa na Mkenya yeyote na kuifanya Kenya kuwa mali ya Waingereza.
Huyu ndugu yetu "George Mwai Gitau" si Mkenya! Yeye ni Mwingereza ambaye anakaa Kenya! Kwa nini si Mkenya? Mambo ya wizi kama aliofanya huko Dubai ni tabia za Waingereza sio Wakenya Halisi.
Jambo la ajabu na pia la kuhuzunisha na kusikitisha ni kuwa, Wakenya wengi bado hawajaelewa tabia mbovu na hila za Waingereza walizoacha nchini kabla hawajaondoka 12/12/1963! Ndugu yetu marehemu Jaramogi Oginda Odinga aliandika kitabu kinachoitwa "Not Yet Uhuru" mwaka wa 1966. Kusema kweli, Kenya haijapata uhuru wa kujikomboa kimawazo kutokana na tabia mabovu zilizoachwa na Waingereza.
Ningependa kujua: Je, kwa nini baada ya miaka 55 tangu tupate uhuru tungali na majina ya kikoloni, imani ya kikoloni, mila za kikoloni, na mwishowe, lugha ya kikoloni? Kwa nini Kiingereza kinasemwa bungeni na pia katika nyumba za Wakenya baada ya kupata uhuru miaka mingi iliyopita?
George Nani??
Permalink
George Nani??
Yeah right!
Permalink
In reply to George Nani?? by Ufisadi (not verified)
Yeah right!
@Ufisadi. Kusema kweli, …
Permalink
@Ufisadi. Kusema kweli, "George" si Mgikuyu! Wagikuyu asili hawakuwa wezi, wauaji, wanyakua mashamba, malaya, Wakristo, na pia majambazi!
George ni Mgikuyu kwa jina tu. Yeye ni Mwingereza kwa tabia zake mbovu za wizi. Hebu tazama, jina lake George ni la Kiingereza. Mtu si sura tu. Mtu ni tabia na vitendo vyake anavyofanya kila siku.
Gikuyu (the Kikuyu patriarch…
Permalink
In reply to @Ufisadi. Kusema kweli, … by Imara Daima (not verified)
Gikuyu (the Kikuyu patriarch) alikuwa Mwizi (Mwici). Aliiba bingo zake; kawazalisha hizi KABILA zote za Central. Nb: Confirm with Mutahi NGUNYI; he Knows the Story.
Add new comment